Simu zao huwa hata kuita haziiti na hata website yao ambayo inekuwa na maelekezo ya kuwasaidia watu iko offline zaidi ya miezi sasaSasa maelezo ya NIDA na ya JamiiForums yapi yanapaswa kuaminika? Wapigie simu Makao Makuu kama haujawaamini hao waliokuambia. Namba za simu huwa zipo kwenye vituo husika vya NIDA.
Unatakiwa kupiga muda wa kazi.Simu zao huwa hata kuita haziiti
Njoo nikupe namba zangu zikusaidie mkuuWakubwa mdogo wangu alijiandikisha NIDA mwezi December mwaka jana leo ameenda kuangalia kama namba yake imerudi ila ameambiwa eti aanze process upya kwa kuwa jina lake lilikosewa kwahiyo namba haiwezi kurudi.
Hivi ni kweli mtu ambaye jina lake limekosewa anatakiwa kuanza process upya au jamaa wameamua tu kumzingua,mwenye taarifa sahihi azimwage hapa ili ziwasaidie na wengine wenye tatizo kama hili maana NIDA hawana muda wa kumuelekeza mtu mpaka akaelewa.
Namba za 0717 auNjoo nikupe namba zangu zikusaidie mkuu
unalialia humu ndio nida unaonekana ulikua unataka nuimber za haraka uende USANamba za 0717 au
Swaini kafiri weweunalialia humu ndio nida unaonekana ulikua unataka nuimber za haraka uende USA