Msaada kwa matokeo haya naweza kupata chuo?

Yaledi julius

Member
Joined
Apr 11, 2013
Posts
39
Reaction score
6
Ndg zangu poleni na mihangaiko ya hapa na pale hasa ya kimaisha.kwakweli mwenyezi mungu anamakusudi yake hapangi wote waende 4m 5,kwa matokeo yangu nimeambulia hiki kidogo nimepata 4 ya 30 kwa masomo haya,Bio D,Chem D,Phys D,Geog D na kisw D je kwa matokeo haya naweza kupata chuo chochote kile.naomba kufahamishwa.nersing,na vingine ambavyo sivifahamu
 
D tatu unapata haijalsh 4 ya ngap nashindwa kukwambia chuo sababu sijui unataka kusomea nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…