king can janja
Member
- Feb 14, 2018
- 21
- 1
mnaendaga clinic?Ndugu dr, naomba msaada mke wangu bsdo mwezimmoja kujifungua ila ameanza kukooa kooa na pia tumbo hua linamuuma.
Hi ni kwasababu gani na dawa yake ni ipi,
Ndiyomnaendaga clinic?
wanajua kuhusu hili?Ndiyo
wanajua kuhusu hili?
Hawajuiwanajua kuhusu hili?
Kwanini hamuwaambii ili wampe matibabu!?Hawajui
Ebu nenda kituo cha afya shemeji.Kwanini hamuwaambii ili wampe matibabu!?
nashukuru nachukua ushauri ulionipa kwa kwenda hospitali,asanteEbu nenda kituo cha afya shemeji.