toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,612
- 4,721
Habari wapendwa
Kwa mnaoagiza vipodozi kutoka nje ya nchi na kutumiwa hapa namaanisha wale wanaotumiwa kupitia dhl,meli,ndege etc
Nimeambiwa ni lazima zikaguliwe na TFDA na TBS na pia nimeelezwa kuwa ni lazima kwa zile husika huko vipodozi vyako vinakotea uwe pia na na vyeti vyao vya uthibitisho wa mamlaka za huko
Sasa hii imekaaje wadau nataka nianze kuagiza vipodozi mpk piece 100 kwa kuanza ila sasa mimi cheti cha nchi husika nitakipata wapi lakini katika mitandao muuzaji kaambatanisha vyeti vya uthibitisho kuwa vipodozi viko verfied na mamlaka husika za huko na hapa kwetu ukaguzi unakuaje?,maana nahisi itakua ni kuzungushwa tu
Mnaonunuaga tafadhali nishaurini na hata mnaojua pls
Kwa mnaoagiza vipodozi kutoka nje ya nchi na kutumiwa hapa namaanisha wale wanaotumiwa kupitia dhl,meli,ndege etc
Nimeambiwa ni lazima zikaguliwe na TFDA na TBS na pia nimeelezwa kuwa ni lazima kwa zile husika huko vipodozi vyako vinakotea uwe pia na na vyeti vyao vya uthibitisho wa mamlaka za huko
Sasa hii imekaaje wadau nataka nianze kuagiza vipodozi mpk piece 100 kwa kuanza ila sasa mimi cheti cha nchi husika nitakipata wapi lakini katika mitandao muuzaji kaambatanisha vyeti vya uthibitisho kuwa vipodozi viko verfied na mamlaka husika za huko na hapa kwetu ukaguzi unakuaje?,maana nahisi itakua ni kuzungushwa tu
Mnaonunuaga tafadhali nishaurini na hata mnaojua pls