Ndigwa
JF-Expert Member
- Feb 11, 2013
- 210
- 59
Naombeni ushauri.
Mke wangu aliongezewa damu kutokana na kuvuja damu nyingi, tatizo ni kwamba tangu ameongezewa damu, miezi mitatu ilipita, amekuwa akisikia mvutano kifuani, mapigo ya moyo kwenda kasi na utosini kuvuta. Wingi wa damu uko vizuri (10) na alipima moyo na kuonekana hauna shida.
Sasa hatujui tatizo nini, naomba msaada tafadhali.
Mke wangu aliongezewa damu kutokana na kuvuja damu nyingi, tatizo ni kwamba tangu ameongezewa damu, miezi mitatu ilipita, amekuwa akisikia mvutano kifuani, mapigo ya moyo kwenda kasi na utosini kuvuta. Wingi wa damu uko vizuri (10) na alipima moyo na kuonekana hauna shida.
Sasa hatujui tatizo nini, naomba msaada tafadhali.