Msaada kwa Mtu aliyewahi kufanya biashara na China WorldBuz

Job K

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2010
Posts
9,314
Reaction score
7,149
Wakuu tunaomba ushuhuda wa watu waliokwishafanya biashara na hii kampuni inayojitangaza imesajiliwa China na Tanzania kuwasaidia wafanyabiashara wa Tanzania kuagiza bidhaa kutoka China. Watu tunahofu tusije tukaingizwa mkenge!! Si unajua tena wa-TZ kwa fursa hatujambo!!
 
mkuu job k mimi nimewai kuagiza mzigo kupitia wao niliagiza incubator yenye uwezo wa kubeba mayai 5800 ambayo niliagizia mbeya kwa wakara wao nikaichukua oficin kwao lumumba tower froo ya kumi kwa gharama ya million 3
 
mkuu job k mimi nimewai kuagiza mzigo kupitia wao niliagiza incubator yenye uwezo wa kubeba mayai 5800 ambayo niliagizia mbeya kwa wakara wao nikaichukua oficin kwao lumumba tower froo ya kumi kwa gharama ya million 3
Mkuu unaweza kutupatia contact zao?jamaa ni waaminifu na hawana usumbufu wowote?maana nnayopajua Lumumba pale ni fully wapigaji.
 
Mkuu unaweza kutupatia contact zao?jamaa ni waaminifu na hawana usumbufu wowote?maana nnayopajua Lumumba pale ni fully wapigaji.

Si ndo mtaa wa akina maCCM? Huo mtaa ni balaa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…