Msaada kwa Mwalimu Mpya

Msaada kwa Mwalimu Mpya

Mparee Halisi

Senior Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
104
Reaction score
8
Habari wana JF,hongereni sana kwa wale waalimu waliopata ajira mpya,Mungu awaongoze mnapoenda kulijenga taifa.
Nilikua muajiriwa serikalini lakini niliondoka 2012 na kwenda taasisi flan,Mwaka jana niliiomba ajira Mpya kwa bahati nzuri nimepata,nipeni mbinu za kuingia kule waheshimiwa maana nasikia unaweza kukataliwa.Asanteni.
 
Back
Top Bottom