Msaada kwa mwanamke huyu? Kaz au mwanaume


Halafu usisahau kumwambia anadili na mtu wa namna gani maana Nigerians bana mimi siwafrust kabisa wanakuwa na mambo ya ajabu ajabu sana
 
Amwambie kabla hajaacha kazi amfungulie biashara ya maana kabla ya ndoa ndio aache hiyo kazi

kaka hlo kama kingekuwa linawezekana angefanya lakn huyu m2 hana nia hyo kwan hafikirii hlo wewe m2 anakwambia uache kaz kwanza kipato cha jamaa ni kidogo kwakwel na ndo hvyo itakuwa ngumu
 
We mkaka mwambie asiache kazi hata kama anapewa nini. Mie pia mume wangu anapenda niache kazi wala siachi hata iweje hiyo shule yote niwe nimesoma bure.
 
Mwambie aone analoona yeye sawa maana vitu vingine hata sio vya kumshauri mtu, kwani yeye anaona kipi bora, kazi au bwana? atakachoona bora afuate hicho hicho

mzaz kaz kwel kwel tatzo ninashndwa kumuelewa anajua kabisa kaz ni muhmu kwake na pia jamaa ni muhmu kwake ninachomshangaa unamshaur na anakuelewa na anatoka na maamuz muhmu na sawa kabisa lakn akienda kwa jamaa akirud anakuwa mwngne
 

kusoma amesoma na anadegree yake nzur na anafanya kaz nzur tatzo ndo nimekuja hapo alipotaka kuolewa jamaa hatak huyu bnt aendelee na kaz je huyu jamaa nae anakaz nzur ila kwa hal ya sasa kama ofic yenyewe msharaha mpaka uchakachue je unaweza bila msaada wa mwenzio na jamaa kaz yake ukiambiwa hata wewe utakubal kuwa kipato hcho hakitaweza kuish hv sasa
 
we lizzy tema mate chn mwenzio kajarbu kila njia ameshndwa ndo kaamua kuomba ushaur usiseme hvyo ila okay nitamfikishia ujumbe wake

Niteme mate chini kwani nimemdharau mtu asiyejiweza????Kama mtu anaona ugumu kati ya kuchagua kua na ndoa bila uhakika wa maisha na kua na uhakika wa maisha na ni swala la kuuliza anafaa kushangawa!!!
 





Ana kazi nzuri alafu hawezi kumhudumia???Mbona unachanganya maelezo mzee???
 
Ana kazi nzuri alafu hawezi kumhudumia???Mbona unachanganya maelezo mzee???

unaweza ukawa unakaz nzur kwako lakn ucweze kuwaudumia wengne na ndvyo ilivyo mamaa
 
Kweli hapo ametuchanganya kidogo

yan ninamaana hii jamaa kaz aliyonayo ni nzur kwel lakn kipato alichonacho hakimkidh maitaj hata kumsaidia mwnzie bila msaada wa mwenzie alafu pia co kila mwenyekaz nzur anakipato kizur sawa wanandugu
 
yan ninamaana hii jamaa kaz aliyonayo ni nzur kwel lakn kipato alichonacho hakimkidh maitaj hata kumsaidia mwnzie bila msaada wa mwenzie alafu pia co kila mwenyekaz nzur anakipato kizur sawa wanandugu

Poa mkuu nimekuelewa kwa mapana ila mwambie asiache kazi wanaijeria matapeli tu badae atamgeuka na dunia ataiona chungu
 
anataka kukuharibia maisha tu huyo mwanaume hana lolote
kisha ukishaacha kazi atakuona si lolote si chochote utachina ndani ya nyumba utakumbuka kazi yako while its too late
fanya kazi mama achana na mnigeria hakutakii mema
maisha ya leo ukimsikiliza huyo utakufa njaa, na jibu unalo hata hivyo..mtu ambaye hakusaidiii kwa lolote leo akwambie uache kazi kisa ndoa ana jema kweli huyo..hell noo
 
Mmmmmh, Hawezi kunisaidia kitu. Na maisha yalivyokuwa magumu hivi.
Usikute na kumchakachua anamchakachua vizuri.

Anataka kumuoa, lakini aache kwanza kazi.
Dah, mi wala nisinge ongea mara mbili.
Ningesema tu, naona unataka kuniloga.

Hebu rudi Nigeria ukaendelee na biashara yako ya kuloga.
Halafu sigeuki nyuma, labda aniue hapo ndo atakuwa ameniweza.

Maisha magumu hivi, Uache kazi, uishi na kijamaa hakina mbele wala nyuma.
Bora nife njaa nikiwa kwetu kwa kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…