Msaada: Kwa mwenye ufahamu kuhusu hospitali kubwa upande wa magonjwa ya mfumo wa upumuaji kama Mapafu, Pneumonia, Tb

Msaada: Kwa mwenye ufahamu kuhusu hospitali kubwa upande wa magonjwa ya mfumo wa upumuaji kama Mapafu, Pneumonia, Tb

fasi dwasi

R I P
Joined
Sep 23, 2018
Posts
105
Reaction score
108
Natafuta hospitali ambyo inatoa huduma bora ktk vipomo na matibabu ya magonjwa ya kifua, mfumo wa upumuaji hasa Pneumonia, TB na matatizo ya mwili nzima lakini ni hapa Dar.
 
Natafuta hospitali ambyo inatoa huduma bora ktk vipomo na matibabu ya magonjwa ya kifua, mfumo wa upumuaji hasa Pneumonia, TB na matatizo ya mwili nzima lkn ni hapa Dar.

Nenda tu Muhimbili ndugu.. au hospital yoyote ya serikali ya wilaya
 
Back
Top Bottom