Msaada kwa mwenye ufahamu wa shirika la kimataifa la ICAP Global Health

Msaada kwa mwenye ufahamu wa shirika la kimataifa la ICAP Global Health

Sensei Tai

Senior Member
Joined
May 26, 2022
Posts
168
Reaction score
466
Habari nilikua naomba kwa mwenye ufahamu juu ya hili shirika la ICAP au hata yule ambae kashawahi kufanya nao kazi kuhusu mchakato wao wa ajira unakuaje ili anipe kidogo mwangaza.

Walitangaza nafasi na deadline ishapita lakini bado hatujui kama wako kwenye mchakato wa kuita watu kwa usaili au tayari washaita kwa nafasi walizotangaza mwezi wa tano.

Na je wanakuaga fair kwenye kuajiri au ndo mambo ya kamlete .

Natanguliza shukrani kwa watakaonijibu.
 
Habari nilikua naomba kwa mwenye ufahamu juu ya hili shirika la ICAP au hata yule ambae kashawahi kufanya nao kazi kuhusu mchakato wao wa ajira unakuaje ili anipe kidogo mwangaza.

Walitangaza nafasi na deadline ishapita lakini bado hatujui kama wako kwenye mchakato wa kuita watu kwa usaili au tayari washaita kwa nafasi walizotangaza mwezi wa tano.

Na je wanakuaga fair kwenye kuajiri au ndo mambo ya kamlete .

Natanguliza shukrani kwa watakaonijibu.

ndyo kazi yako ya kwanza kuapply? mbona watu huwa tunaapply hata kazi 20 kwa mwezi na hatuchachawi [emoji3]
 
Back
Top Bottom