Msaada kwa Rav 4 ya mwaka 2003 kutoka UK

Msaada kwa Rav 4 ya mwaka 2003 kutoka UK

malimingiii

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2013
Posts
967
Reaction score
1,335
Za asubuh wanaJF...
Nilinunua Rav 4 imported from UK ikaja na funguo mbili zote nina remore control.
Funguo ya akiba sikuwah kuitumia. Kama wiki moja imepita ufunguo ukatumbukia kwenye maji nikararibu kuifungua haraka na kufuta maji ikaendelea kufanya kazi. Baada ya siku mbili ukaanza shida. Ukifungua kwa kutumia lock n unlock key mara igome mara ikubali. Nikaamua kuchukua ufunguo wa akiba... kinachotokea kwenye huu ufuguo wa akiba unawasha gari starter itanguruma tu engine haipokei.
Nimekuja kugungua hata nikibadil funguonitumia funguo ya ziada ile remote ya kwanza natakiwa niiweke karibu na ninapowashia ndipo engine itapokea.
Naomba mwenye ufahamu ili niweze kutumia huu ufunguo wa akiba maana kuna watu wananiambia natakiwa kuiprograme hii remote ya ufunguo wa akiba ili ukubali kakin hakuna anayejua jins ya kufanya.
Msaada kwenu wana JF
 
Xaxa chukua uwo funguo wa gar yako ambao ulitumbukia kwenye maji ufungue ndan kuna kichipi kidogo safisha kabisa kikauke af chomoa waya wa betri kwa angalua kwa saa sita gari yako itawaka...isipo waka ntafute kwa namba hii 0686067701 ntakuambia kingine cha kufanya boss
 
Xaxa chukua uwo funguo wa gar yako ambao ulitumbukia kwenye maji ufungue ndan kuna kichipi kidogo safisha kabisa kikauke af chomoa waya wa betri kwa angalua kwa saa sita gari yako itawaka...isipo waka ntafute kwa namba hii 0686067701 ntakuambia kingine cha kufanya boss
Asante mkuu.... ngoja nifanye hilo zoezi leo ikikataa nitakupa jibu mkuu
 
Za asubuh wanaJF...
Nilinunua Rav 4 imported from UK ikaja na funguo mbili zote nina remore control.
Funguo ya akiba sikuwah kuitumia. Kama wiki moja imepita ufunguo ukatumbukia kwenye maji nikararibu kuifungua haraka na kufuta maji ikaendelea kufanya kazi. Baada ya siku mbili ukaanza shida. Ukifungua kwa kutumia lock n unlock key mara igome mara ikubali. Nikaamua kuchukua ufunguo wa akiba... kinachotokea kwenye huu ufuguo wa akiba unawasha gari starter itanguruma tu engine haipokei.
Nimekuja kugungua hata nikibadil funguonitumia funguo ya ziada ile remote ya kwanza natakiwa niiweke karibu na ninapowashia ndipo engine itapokea.
Naomba mwenye ufahamu ili niweze kutumia huu ufunguo wa akiba maana kuna watu wananiambia natakiwa kuiprograme hii remote ya ufunguo wa akiba ili ukubali kakin hakuna anayejua jins ya kufanya.
Msaada kwenu wana JF
Hapo ni wazi aliekuuzia gari alioda funguo ya akiba lakini hakuifanyia programming. Haitawasha gari mpaka iwe programmed,wapo watu wanafanya programming hapa tz.

Hio funguo ilioingia maji imepata hitilafu kama kitu kingine chochote cha electronic kikiingia maji,damage inaweza kuwa temporary or permanent, waone mafundi wa key programmming.
 
Hizo gari zina kitu kinaitwa immobilizer,kazi yake ni kuzuia wezi wasiweze kuiba gari lako kwa kutumia funguo tofauti na uliyonayo.
Kuna njia rahisi ya kuprogram ufunguo mpya bila kufanya marekebisho katika ecu. Kuna sequency ya kufanya ikiwa pamoja na kufungua milango na kufunga ukiwa umebonyeza remote,nikipata muda nitajaribu kukutumia.
 
Back
Top Bottom