Msaada kwa shule ya bweni yenye a level mchepuo wa cba

bishankara

Senior Member
Joined
Feb 21, 2012
Posts
140
Reaction score
8
Naomba wadau mnisaidie kunijuza shule nzuri ya private kwa hapa dar au mikoa ya karibu na dar inayofundisha mchepuo wa cba (a level)
 
Hiyo comb aisee mara nyingi ipo ktk shule za govt pia kwa private najua shule 1 ipo mikoa ya kaskazin inaitwa Agape.
 
hiyo comb aisee mara nyingi ipo ktk shule za govt pia kwa private najua shule 1 ipo mikoa ya kaskazin inaitwa agape.

asante mkuu, naomba data zote kuhusu results trend at least ya three to four years na pia naomba fee structure yao.
 
Mkuu kwa msaada zaidi ingia web ya NECTA ucheki results zao.
 
Naomba wadau mnisaidie kunijuza shule nzuri ya private kwa hapa dar au mikoa ya karibu na dar inayofundisha mchepuo wa cba (a level)

Jaribu Arusha modern schools.fungua web yao.
 
asante mkuu, naomba data zote kuhusu results trend at least ya three to four years na pia naomba fee structure yao.

agape kimatokeo wapo vizuri kwa kwel but ada c chin ya 1.7 milion na kingne ni kwamba ile n seminar so wanachukua waluther peke yao.
Ushauri wangu nenda MAJENGO sio bording ila wana hostel na ada yao n kidogo na kimatokeo wapo vizuri sanaaa
 
Naomba wadau mnisaidie kunijuza shule nzuri ya private kwa hapa dar au mikoa ya karibu na dar inayofundisha mchepuo wa cba (a level)

Private kuna shule inaitwa BASHNET NADHANI IKO BABATI
GVT. Galanos, Kibiti, Kibaha, Bihawana-Dodoma,
 
shule kwa hiyo combination ni galanos tanga ni ya gvt
 
agape kimatokeo wapo vizuri kwa kwel but ada c chin ya 1.7 milion na kingne ni kwamba ile n seminar so wanachukua waluther peke yao.
Ushauri wangu nenda MAJENGO sio bording ila wana hostel na ada yao n kidogo na kimatokeo wapo vizuri sanaaa

Asante sana mkuu kwa ushauri wako. Je kati ya Agape na Majengo ipi zaidi? Hata hvyo dogo ni mlutheri, hivyo ikitokea agape ni nzuri itabidi aende pale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…