Ijapo kuwa profile zetu;zimeandikwa YOU HAVE BEEN SELECTED,na bado hatuna uhakika wa kupata hivyo vyuo ;kutokana na mdau mmoja kusema "mchaguzi utafanywa tens ktk chuo husika"je kuna ukwel hapo wadau?naombeni msaada wenu.
Sio kweli kwamba uchaguzi utafanywa tena katika vyuo husika
Wewe uliyechaguliwa kwenda chuo flani katika second round anza kujiandaa na safari,ni huko huko tu unapokwenda