Msaada: Kwa wadau wa Ujenzi na Wajenzi

Msaada: Kwa wadau wa Ujenzi na Wajenzi

Path Finder

Member
Joined
Jan 28, 2011
Posts
50
Reaction score
8
Wadau nahitaji vifaa kwa ajili ya kufanya wiring kwenye ka-ujenzi kangu (nyumba) ambavyo ni 'genuine and high quality'. Kwa mwenye taarifa wapi nitavipata, tafadhali nijuze, ikiwezekana na bei zake. JF hakuna kinachoshindikana!!!!
 
Wadau nahitaji vifaa kwa ajili ya kufanya wiring kwenye ka-ujenzi kangu (nyumba) ambavyo ni 'genuine and high quality'. Kwa mwenye taarifa wapi nitavipata, tafadhali nijuze, ikiwezekana na bei zake. JF hakuna kinachoshindikana!!!!


Kuna wapalestina wako posta wanauza vifaa vya umeme uliza wanavifaa vya umeme poa
 
Na mimi ninahitaji fund wa kupaua nyumba yangu ya vyumba vitano na sebule ipo moro kihonda bwawani bajeti yangu Tshs 500000/= kama kuna fund yuko tayar nicall 0764992264
 
Back
Top Bottom