Huyo atasoma petroleum geology hapa atadili na uchimbaji wa mafuta ila hiyo bios haiusiki hapa katika hii course kinachotakiwa n PCM ila ila kuna course nyingine kama vile mining surveyor huyu anahusika kuweka alama kwenye eneo husika linaloandaliwa kwa ajiri ya utafiti,
exploration geology huyu ndio mtafiti mwenyewe anadili na sampuli na kutoa takwimu kama eneo lipo sawa kwa prodution maana anatoa takwimu adi za kiwango cha madin yaliyopo ardhin na yatachimbwa ndan ya miaka mingapi ili kukwepa loose na kufanya geologocal maping ili kumrahisishia mchimbaji achimbe eneo husika ,
mining engoniering huyu n mchimbaji hapa utawakuta ma blaster wanadili na ulipuaji wa miamba ,na driller hawa n watoboaji wa miamba ili kijaza baruti kwaajiri ya ulipuaji na mining processing huyu n msafishaji anafanya purification
Tunawakaribisha sana
EARTH SCIENCE INSTITUTE OF SHINYANGA (ESIS) KWA MWAKA WA MASOMO 2015-2016 🙂🙂