Ndengaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,831
- 14,259
kwa taarifa zilizorasmi tcu watatoa majibu tarehe 22 sept, sasa na vyuo vingi eg.makumira wanaripoti tarehe 29 sept shida inakuja nikwenye kujiandaa naomba kuuliza ada za usajili kwa udsm,saut,udom na mzumbe na kama nikikosa mkopo cozi ya sheria unalipa ada ya shilingi ngapi kwa kuanzia? Kwa sasa ada udsm ni 1.5m,mzumbe 1.3m, udom 1.5m saut 9.5k mchango wako ni wamuhimu. Nawasilisha!