Msaada kwa wale wa saut mwanza

Msaada kwa wale wa saut mwanza

Dodoma moja

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2014
Posts
307
Reaction score
182
Wakuu mwaka jana saut walikuwa wanatangaza evening program kwa level ya bachelor na watu weng sana waliapply nikiwemo na mimi pia walisema masomo yangeanza mwezi wa 8 lakin hawakuanzisha had muda ukapita sasa nashindwa kuelewa lengo lao lilikuwa ni nin au kula hela zetu za 4m pia nataka kujua kama mpango huo utafanikiwa mwaka huu
 
Wakuu mwaka jana saut walikuwa wanatangaza evening program kwa level ya bachelor na watu weng sana waliapply nikiwemo na mimi pia walisema masomo yangeanza mwezi wa 8 lakin hawakuanzisha had muda ukapita sasa nashindwa kuelewa lengo lao lilikuwa ni nin au kula hela zetu za 4m pia nataka kujua kama mpango huo utafanikiwa mwaka huu

mmh nimemaliza pale chuo lakn hyo program sjawah ona may b next year wanaeza anzsha
 
Back
Top Bottom