Dodoma moja
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 307
- 182
Wakuu mwaka jana saut walikuwa wanatangaza evening program kwa level ya bachelor na watu weng sana waliapply nikiwemo na mimi pia walisema masomo yangeanza mwezi wa 8 lakin hawakuanzisha had muda ukapita sasa nashindwa kuelewa lengo lao lilikuwa ni nin au kula hela zetu za 4m pia nataka kujua kama mpango huo utafanikiwa mwaka huu