Habari zenu wakuu na heri ya sikukuu ya wafanyakaz
Naomba niulize kwenye listi za walimu wapya waliopangiwa vituo vya kaz mwez uliopita,
swali langu ni kuwa, mbona sijaona majina ya walimu wa post graduate diploma of education (pgde) ila nimeona majina ya walimu wa cheti, astashahada (diploma) na shahada (degree) pekee,
naomben ufafanuzi wakuu na mliomaliza mwaka jana hiyo koz ya pgde maana na mimi ninasoma hiyo pgde na nategemea kumaliza mwisho wa mwez ujao wa sita na moyo ushaanza kudunda. Natanguliza shukran wakuu[/QUOT
ndugu soma, ajira zimetoka kwa pgde wote, mimi ni mmoja wao...majina yote ya pgde yameandikwa degree na wala sio pgde.