Talking from experience,kupeana mi passwords ni kujitafutia mitafaruku isiyo na maana.Mnapendana ndiyo,thats fine,but you still need some privacy.
Ninarafiki yangu ametoa mahari mwanzoni mwa mwaka huu na anategemea kuoa early June this year ila kuna kitukimoja kinamtatiza sana nacho ni wakati gani unafaa kwa yeye na mchumba wakekupeana passwords na username zao zamitandao yote ambayo amejiunga mfono yahoo, gmail, skype na facebook na pia niwakati gani mwafaka kwa hawa wachumba wanapaswa kuelezana akiba zao zilizopokwenye mabenk. Msaada wenu wa muongozo unahitajika
Ninarafiki yangu ametoa mahari mwanzoni mwa mwaka huu na anategemea kuoa early June this year ila kuna kitukimoja kinamtatiza sana nacho ni wakati gani unafaa kwa yeye na mchumba wakekupeana passwords na username zao zamitandao yote ambayo amejiunga mfono yahoo, gmail, skype na facebook na pia niwakati gani mwafaka kwa hawa wachumba wanapaswa kuelezana akiba zao zilizopokwenye mabenk. Msaada wenu wa muongozo unahitajika
Sasa si wanakwenda kuwa mwili mmoja katika Kristu na wanaaminiana ndo maana wakafikia kuoana sasa pasword zao kwa nini iwe shida wakati wanapendana? Mi naona kusema ukweli maamuzi haya ni mazito lakini inatakiwa kwanza wasomane kiaina maybe baada ya kuoana ndo wawekane wazi hizo password otherwise kwa sasa it is too early no matter what