Msaada kwa Waliosoma BSc. Food, Nutrition & Dietics pale Open University of Tanzania

Msaada kwa Waliosoma BSc. Food, Nutrition & Dietics pale Open University of Tanzania

JAMBONIA LTD

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2014
Posts
584
Reaction score
274
Habari wakubwa bila shaka mpo salama, nawahitaji wote mliosomo hiyo kozi au mnaendelea na masomo kozi hiyo hapo juu. Naomba uzoefu wenu katika hiyo kozi kuanzia uzuri wa kozi yenyewe katika nyaja zifuatazo:

1. Kwa maendeleo ya mtu binafsi yaa baadae kuanzia ajira na hata kujiajiri.
2. Commitment yake ili uweze kufaulu vizuri na kumaliza kwa wakati/muda mfupi
3. Namna inavoendeshwa hasa kwa practicals na field namna gani zinapangwa hizi sessions? Ni chuo kinaamua au wanafunzi wanapanga na vipi zikiingiliana ratiba yao na ratiba ya kazi? Unaweza kuadjust kipindi chakocha likizo?
4. Vipi mtu aliyekatika private sector anaweza kumudu kuendana na ratiba hizo? kama unavyojua private wakijua unashuhulishwa na kingine ni rahisi kukutema
5. Lectures ni recorded au ni live lectures?
6. Naweza kuchagua hata kozi moja kila mwezi na kufanya mpaka mtihani wa mwisho?
7. Na mengineyo ambayo unaweza kuyadadavua kwa kozi hii
7. Kwa wale ambao wameanza first year novemba hii pia mjitambulishe ili mpate connection na wenzenu

Asanteni sana natarajia kujifunza mengi kutoka kwenu, kwani nimekua interested sana na hii course kuweza kuijua kiundani kutoka kwa wazoefu wenyewe waliopita.
 
Navyofahamu kuhusiana na field huwa wanatoa Announcement ya kuanza field practical we unatafuta sehemu inayofanya activities zinazoendana na program unayosoma unapeleka taarifa za hiyo sehemu alafu chuo kinakupa barua unapeleka sehemu utakayofanyia field.

Mfano field inaweza kuwa imepangwa utafanya siku 42 za kazi ila wanatoa miezi hata minne ili uangalie namna ya kupanga ratiba zako na uweze kutimiza hizo siku 42
 
Navyofahamu kuhusiana na field huwa wanatoa Announcement ya kuanza field practical we unatafuta sehemu inayofanya activities zinazoendana na program unayosoma unapeleka taarifa za hiyo sehemu alafu chuo kinakupa barua unapeleka sehemu utakayofanyia field.

Mfano field inaweza kuwa imepangwa utafanya siku 42 za kazi ila wanatoa miezi hata minne ili uangalie namna ya kupanga ratiba zako na uweze kutimiza hizo siku 42
Ok shukran sana
 
Inaonekana wadau wa hii kozi ni wachache mno basi hata wale wengine wenye kozi za practicals..mnaweza kuja pia kutoa uzoefu kwa open University inakuaje Ratiba zake
 
Back
Top Bottom