Msaada kwa waliosoma university of dar es salaam

Msaada kwa waliosoma university of dar es salaam

ISENUKA

Member
Joined
May 25, 2014
Posts
81
Reaction score
10
naomben mnisaidie ni viambatanisho vipi vinahitajika ili kuchukua cheti,na inachukua muda gani hadi upate hcho cheti?
 
Copy ya transcript na kitambulisho chako,unajaza fomu unaipeleka kwa wakili then unawarudishia...ukienda asubuhi unachukua mchana wa siku hiyo hiyo.
 
Copy ya transcript na kitambulisho chako,unajaza fomu unaipeleka kwa wakili then unawarudishia...ukienda asubuhi unachukua mchana wa siku hiyo hiyo.

Kitambulisho si kinarudi smart card wakati wa clearance....
 
Sio kitambulisho cha Chuo,kinaweza kua kadi ya mpiga,kitambulisho cha taifa au kazi.
 
Back
Top Bottom