Msaada kwa wanao elewa.

mcoloo

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
918
Reaction score
1,402
Nataka kubadili engine , ya gari aina ya Isuzu bigon, ili niweke engine nyingine tofauti.
1: Je engine ya aina gañi iliyo nzuri kwa matumizi na inayo weza Ku fiti vzr kwenye body ya Isuzu bigon
2: Je nikibadili engine **** umuhimu pia wa kubadili na gear box,
3: Naomba msaada wa kueleweshwa pia ni aina gani ya engine iliyo bora na yenye unafuu wa gharama wakati wa kufanya service.
Natanguliza heshima kwenu wana bodi nipatieni msaada huo wa mawazo. Asanteni sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…