Msaada kwa wanaojua

Msaada kwa wanaojua

zethumb

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2010
Posts
610
Reaction score
137
Hi JF!
wandugu nina mdogo wangu kachaguliwa kwenda Tandabui Health Institute kusomea Health Records Financial and Information Management, napenda kufahamishwa je amalizapo kozi hii atafanya kazi hospital na kama nani pale na je nafasi za namna hii zipo available au ndo kumaliza na kusota kitaa.....!
nawasilisha....
 
Back
Top Bottom