Lejea na ombi hapo juu..mim ni kijana niliepata bahati ya kuchaguliwa pale out ..shider niliokumbana nayo ni kwamba sina na sijui nitapata wpi matereal.kwa yeyote alie na uelewa naomba anisaidie hata kwa pesa ..njoo tutengeneze group..nibip kwa namba 0714098138
Sijui kamusi ya lugha gani itanisaidia nimuelewe mwanzisha mada.......shider ndio nini? msomi wa chuo kikuu bado unaandika maneno kama haya? Kijana wa darasa la saba ataandika sentensi gani? .....JIREKEBISHE.....