Bishara mchomvu
Member
- Apr 3, 2013
- 53
- 0
Kwa udom mbona hata E mbili unaenda,masela wangu wengi na 3 zao za 16 wako udom wanakula bata,omba haraka sana dogo.
Fuata Guide-book inavyosema wewe, chuo hakikuchagui kama ilivyokuwa zamani, sasa TCU ndo wanamaliza kila kitu, kwanza utakapoomba mtandao utakukubalia wakishakula vocha yako wanakwambia huna sifa, so kama vipi omba vyuo vyenye utaratibu wa kuombea chuoni, kama bado haifai nenda Diploma...., japokua nina wasiwasi na uwezo wako maana kama hata speliing za UNIVERSITY ni tatizo......, sijui huko shuleni utafundisha nini!!!! MASIKINI FANI YETU, NDIO KIMBILIO LA VILAZA!!!!Ok nashkuru ndugu zangu kwa mawazo yenu. Naona majibu yapo pande zote 2! KUPATA + KUKOSA! !!!!. Mimi sio siri napenda kusomea UDOM.. Sasa kwakuwa majibu yenu ndo ayo, mimi nitaomba vyuo vyenye point zangu b'se vipo,,, Halaf UDOM pia NITAOMBA coz nakipenda xana iko chuo, may be ntapata.