Msaada kwa wataalamu sheria

Hapo kuna kesi, moja kesi ya ugoni, mbili kuibiwa mali zako kama ziko identified nenda mwanza shirika moja linaitwa NOLA wanatoa msaada wa kisheria watakusaidia sana.
LIKO MITAA GANI KAKA NAENDA SASA HV MAANA NIKO TOWN
AU PALE KONA YA BWIRU
 
Sina uhakika ila jaribu ku google ila headquarters iko mwanza wanatawi dsm na dodoma...!
 
SASA NAPOKEA SIMU ZA VITISHO KUTOKA NAMBA AMBAZO NIMEZIFAHAMU AKIJITAMBULISHA YEYE NI RSO WA DAR ANANITAFUTA SIKU NYINGI KWA NN NIWEKE PICHA YA GARI LA KAMPUNI NIKAMJIBU NDIO ILIKUWA GUEST YAKE AKANITUKANA AKANITISHIA NA MAISHA ILA SIOGOPI
 
SASA NAPOKEA SIMU ZA VITISHO KUTOKA NAMBA AMBAZO NIMEZIFAHAMU AKIJITAMBULISHA YEYE NI RSO WA DAR ANANITAFUTA SIKU NYINGI KWA NN NIWEKE PICHA YA GARI LA KAMPUNI NIKAMJIBU NDIO ILIKUWA GUEST YAKE AKANITUKANA AKANITISHIA NA MAISHA ILA SIOGOPI
NAENDA HAPO NOLA NIKAWASIKILIZIE
 
Achana nae... Songa mbele utapoteza nguvu na muda wako bure tu
 
Ushauri wa kisheria bado sijauona hapa,

Jamaa anahitaji kujua aliapproach vipi suala hili KISHERIA. mambo ya mara ooh, MOVE ON, maana yake ni nn kisheria nakat yule ni mke wake??
 
Open a new page, you have bright future. Using'ang'anie mahali si pema kwako! Sahau yaliyopita na yakawe mtaji wa wewe kufanikiwa zaidi!

Ipo siku haki itasimama juu yako na watesi wako wasipokupigia magoti watakutana na mzunguko wa dunia na mkono wa haki ya aliye juu!
 
Ndoa hailazimishwi mkuu naona umeteleza kidogo namba za magari TxxDAA zilianza July-Aug 2014 itakua umejichanganya tarehe za kwenye hio noah TxxxDBR
 
,daaaaaah laana na ijazwe juu yao, ulishapata muafaka sasa?
 
Unadai nini kwake?focus kwenye maisha yako,tafuta kazi,pata pesa chukua mwanamke mwingine,wapo wengi tu wazuri kuzidi huyo.Kwa nini unapoteza muda wako muhimu ukiwa 35?Unapata wapi muda wakufuatilia mpaka ukute mkeo anato..bw..a?jipange upya hujachelewa,achana na hiyo kyuma,kwani ina nini?hii ndiyo shida ya kuoa ukiwa umeto,mb,,a kyuma moja.
 
Broh we nimwanaume huyo mwanamke kiukweli hakutaki mwishowe utaja pewa sumu bure..we fight umchukue mwanao umlee ...
 
Achana na ubatili wote,toa talaka anza mbele,mm mbona aliondoka na nimeshamsahau,namkumbuka tu mwanangu Basi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…