Tetesi: MSAADA KWA WATAALAMU WA MACHO

Tetesi: MSAADA KWA WATAALAMU WA MACHO

Pranzou jr

Member
Joined
May 28, 2019
Posts
51
Reaction score
54
Doctor naombeni msaada wa aina ya dawa nitumie ya macho, tatzo langu ninauono hafifu wa macho ulioanza mwanzoni mwa mwakahuu, macho hayaumi wala kutoa machozi
Naombeni msaada
 
Niliwai kua Na hili tatizo Mwaka juzi, kadri siku Zilivyokua Zinaenda ndo Nilikua napunguza Uwezo wa kuona mbali, Kuna dawa moja Nilitumia Ndani ya Wiki Nikaanza kupata unafuu hatimae nikapona na kuona vizuri kama Zamani,

Nikitulia ntapiga picha kibox nikutumie mkuu, Utapona
 
Una umri gani? hii ni muhimu kujua kabla ya kukujibu/kukushauri.
 
Sasa hivi macho nitatizo kubwa,Mimi ninashida kama kuna kitu kimeniingia kwenye macho,nikiinua kope ya juu jicho linauma kama kitu kinanikwaluza vile watalaam naombeni ushauri.
 
Sasa hivi macho nitatizo kubwa,Mimi ninashida kama kuna kitu kimeniingia kwenye macho,nikiinua kope ya juu jicho linauma kama kitu kinanikwaluza vile watalaam naombeni ushauri.
Jino ukiona linasumbua unang'oa na jicho hivyo hivyo
 
Akiona Vema Baada Ya Kutumia Dawa Alete Mrejesho
 
Akiona Vema Baada Ya Kutumia Dawa Alete Mrejesho
 
Jaribu hiyo mkuu kwa maelezo Yako Ni kama tatizo nililokua nalo mimi, niliandikiwa Dozi ya Miezi Miwili ila nilitumia ya mwezi mmoja tu nikawa nimepona kabisa, kiboksi kimoja kina vidonge 20 Ni 1 mara 1 kutwa..

Usisahau kuleta MrejeshoView attachment 1114942View attachment 1114943
Mkuu dalili za magonjwa zinaweza kufanana lakini visababishi vikawa tofauti.
Chanzo cha ugonjwa wako kinaweza kisiwe sawa na huyu mleta mada. Muhimu aende kwa daktari apimwe na kupewa matibabu sahihi kwa ugonjwa wake.

Sio lazima dawa zilizokuponya wewe zimponye.
 
Ndo maana nikamwambia ajaribu, Kikubwa ni kua hiyo ni dawa ya Jicho na si ya tumbo, Hata mimi sikupimwa Nilishauriliwa nitumie Aina hiyo ya dawa na Nikapona,

Alafu kaja kuomba ushauri wa jina la dawa, Shida nini Mkuu,,?
Mkuu dalili za magonjwa zinaweza kufanana lakini visababishi vikawa tofauti.
Chanzo cha ugonjwa wako kinaweza kisiwe sawa na huyu mleta mada. Muhimu aende kwa daktari apimwe na kupewa matibabu sahihi kwa ugonjwa wake.

Sio lazima dawa zilizokuponya wewe zimponye.
 
Back
Top Bottom