Finder boy
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 608
- 150
Kumekuwepo na malalamiko ya uhaba wa vitabu mashuleni hivyo wanafunzi wengi kushindwa kufanya vizuri katika masomo yao. kama mdau wa elimu, nimeamua kujitolea kutoa msaada kwa wote katika masomo mawili ya Kiingereza (English) na Kiswahili. mimi ni mzuri zaidi katika English (Linguistics). kwa wanafunzi wa vyuo pia ukiwa na tatizo la references (scholars) kwenye kozi zote zinazohusu English na Kiswahili niPM au post swali lako tutasaidiana kadri itakavyowezekana. Asanteni!