Naomba uzoefu na stahiki ntakazozipata toka kwa mwajiri endapo ntaenda kusoma Uganda. Napenda kwenda kusoma shahada ya uzamili nchini Uganda kwa sababu yangu binafsi; zikiwemo 1. Gharama ndogo, 2. Pesa yetu ipo juu. 3. Kumudu fluent english speaking 4. Kubadili mazingira ya elimu 5. Kupanua wigo na 6. Kutembea na kujifunza mambo fulani kwa nchi mahususi kulingana na ntakacho kisomea.