Nimekuwa nikifanya biashara ya kuuza maziwa fresh ya ng'ombe wa kienyeji,
Changamoto inayonipata n kwamba maziwa yanatoka mbali kidogo ya mji sasa wakat mwingine yanakatika yanapokuwa sokoni
NB maziwa yanakamuliwa asubuh na kuchemshwa kisha nnayaweka kwenye freezer had kesho yake asubuh ndo nayapeleka sokoni.
Sasa wakat mwingine inabid kuwafidia wteja wangu maziwa pale yanapokuwa yamekatika.
Jee nitumie njia ngan ili yawe salama mda wote??, kwa wanaojua biashara hii msaada tafadhali..
Naomba mwongozo wa kilimo cha mboga mbogaKwa nini uyachemshe wewe? Kwa nini usiyaweke hivyo hivyo kwenye freezer na ukiyatoa uyapeleke kwa wateja? Unavyo chemsha unaharibu zaidi.
Yaweke na yapeleke hivyo hivyo wao ndo wakayachemshe wenyewe.
Nayachemsha kwa sabab sehem yanakotoka n mbal na pia hakuna umemeKwa nini uyachemshe wewe? Kwa nini usiyaweke hivyo hivyo kwenye freezer na ukiyatoa uyapeleke kwa wateja? Unavyo chemsha unaharibu zaidi.
Yaweke na yapeleke hivyo hivyo wao ndo wakayachemshe wenyewe.
Upo maeneo gani mkuuNayachemsha kwa sabab sehem yanakotoka n mbal na pia hakuna umeme
So yanachemshwa huko asubh na yananifikia mida ya saa saba mchana
Hapo ndo nayaweka kwenye freezer na kesho yake asubh nayauza kwa wateja wangu
Hapo ndo unapo kosea. Kuyachemsha.Nayachemsha kwa sabab sehem yanakotoka n mbal na pia hakuna umeme
So yanachemshwa huko asubh na yananifikia mida ya saa saba mchana
Hapo ndo nayaweka kwenye freezer na kesho yake asubh nayauza kwa wateja wangu
mkuu hi mashine ni nzuri ila kwetu ishaanza kufanya kaziii? na bei zake zikoje?Tafita hii mashine unawezs funga mtaani ukawa unauza maziwa freshi bila shida kabisa. Inaweza setiwa sh 500 ya sarafuView attachment 1144523
beba ng'ombe kakamulie kwa mteja
Hii si itakuwa gharama kubwaTafita hii mashine unawezs funga mtaani ukawa unauza maziwa freshi bila shida kabisa. Inaweza setiwa sh 500 ya sarafuView attachment 1144523
Wewe kwenye biashara unategemea tu vitambulisho? Si kuna leseni? Unaogopa kulipa Kodi?Hii si itakuwa gharama kubwa
Kwetu ss ambao hata vitambulisho vya machinga hatuna n shida hii
Lkn vip gharama yake ikoje na upatikanaji wake ??
Ni kiasi cha ku program tu inafanya kazi mkuumkuu hi mashine ni nzuri ila kwetu ishaanza kufanya kaziii? na bei zake zikoje?
bei ?Ni kiasi cha ku program tu inafanya kazi mkuu
Maziwa wakikamuliwa yasichemshwe yajazwe kwenye madumu na kuwekwa kwenye mafriza yanayogandisha vzuri, asubuhi unachukua yameganda unafikishia sokoni yanayeyuka unauzaNimekuwa nikifanya biashara ya kuuza maziwa fresh ya ng'ombe wa kienyeji,
Changamoto inayonipata n kwamba maziwa yanatoka mbali kidogo ya mji sasa wakat mwingine yanakatika yanapokuwa sokoni
NB maziwa yanakamuliwa asubuh na kuchemshwa kisha nnayaweka kwenye freezer had kesho yake asubuh ndo nayapeleka sokoni.
Sasa wakat mwingine inabid kuwafidia wteja wangu maziwa pale yanapokuwa yamekatika.
Jee nitumie njia ngan ili yawe salama mda wote??, kwa wanaojua biashara hii msaada tafadhali..
Maziwa wakikamuliwa yasichemshwe yajazwe kwenye madumu na kuwekwa kwenye mafriza yanayogandisha vzuri, asubuhi unachukua yameganda unafikishia sokoni yanayeyuka ushafika sokoni
Siogopi ila badi sijafika uwezo huoWewe kwenye biashara unategemea tu vitambulisho? Si kuna leseni? Unaogopa kulipa Kodi?
Mkuu unaonaje ukajipanga ufuge ng'ombe wa maziwa mwenyewe maadam soko unalo na vitendea kazi pia vipo.Siogopi ila badi sijafika uwezo huo
Ndo nimeanza tuu sahz na sjaanza kuuza maziwa mengi