msaada kwa wazoefu wa gpa

beneli

Member
Joined
May 1, 2013
Posts
86
Reaction score
7
ndugu wana jamii , ningependa kupata msaada katika swala hili linalontatiza kuhusu GPA hasa hii ambayo ni moja wapo ya kigezo kwa kupata chuo na pengine mkopo, tcu wanataka GPA ya 2.7 kama kigezo ,swali langu ni je, hiyo GPA ni ya semester zote nne au semester ya mwisho tu au mbili za mwisho ? Na je bodi ya mkopo wanataka GPA ya ngapi ili waweze alau kukufikiria kukupa mkopo ? Nawasilisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…