Msaada kwa wazoefu wa kutumia Aliexpress

Msaada kwa wazoefu wa kutumia Aliexpress

VictoniX

Member
Joined
Jan 12, 2022
Posts
9
Reaction score
8
Naomba kujua kama ukitumia Aliexpress kuagiza mzigo kuwa uwezekano wa kutumia agent wengine wa usafirishaji tofauti na options ambazo Aliexpress wanakuwa wameziweka...

Yani kwa mfano nataka kuagiza mzigo ila nahitaji kutumia Silent Ocean kusafirisha mzigo wangu, je ni hatua gani natakiwa kuzifata maana naona option ya usafirishaji wanacommand kutumia zilizopo

Msaada kidogo hapo kwa wazoefu
 
Ndio inawezekana
  • Unachotakiwa kufanya ni kuwasiliana na muuzaji na kumweleza kile unachotaka kifanyike.
  • Mpe muuzaji anwani husika ya huyo agent.
Nimejaribu tumtumia ujumbe muuzaji though bado hajajibu but nipo najiuliza mwenyew maana naona wanajumlisha kabisa na pesa ya usafirishaji wakati nataka kutumia agent mwengine ndomana nkataka kujua inawezekana au Aliexpress hawatoi option hyo
 
maana naona wanajumlisha kabisa na pesa ya usafirishaji
Gharama ya usafiri ni kulingana na nchi husika mzigo unaenda.

Angalia agent wako ofisi zake ziko nchi/Taifa lipi

Chagua kwenye drop down menu, na hakikisha kwenye shipping address tayari umejaza hiyo address aliyokupa agent, Gharama ya usafirishaji itakayojitokeza italingana na mahali mzigo unaenda.

By default mfumo wa aliexpress utaonyesha gharama za Tanzania, Hivyo kwenye nchi chagua mfano China, na gharama za kusafirisha kuelekea china zitajitokeza, badala ya zile za Tanzania.
 
Gharama ya usafiri ni kulingana na nchi husika mzigo unaenda.

Angalia agent wako ofisi zake ziko nchi/Taifa lipi

Chagua kwenye drop down menu, na hakikisha kwenye shipping address tayari umejaza hiyo address aliyokupa agent, Gharama ya usafirishaji itakayojitokeza italingana na mahali mzigo unaenda.

By default mfumo wa aliexpress utaonyesha gharama za Tanzania, Hivyo kwenye nchi chagua mfano China, na gharama za kusafirisha kuelekea china zitajitokeza, badala ya zile za Tanzania.
Hapa nimekuelewa fresh sana Kiongozi shukrani sana
 
Samahani muanzisha uzi...nimepata changamoto kila nikiplace order naambiwa order closed
 
20220303_181255.jpg
 
Naomba kujua kama ukitumia Aliexpress kuagiza mzigo kuwa uwezekano wa kutumia agent wengine wa usafirishaji tofauti na options ambazo Aliexpress wanakuwa wameziweka...

Yani kwa mfano nataka kuagiza mzigo ila nahitaji kutumia Silent Ocean kusafirisha mzigo wangu, je ni hatua gani natakiwa kuzifata maana naona option ya usafirishaji wanacommand kutumia zilizopo

Msaada kidogo hapo kwa wazoefu
Ingekuwa Alibaba sawa usafiri Ni Bei ila kwa AliExpress tumia njia za kule kule tu sio Bei hata
 
Jinsi unavoweza kusafilisha mizigo kilahisi ni kutumia hawa agents wanaodeal na masuala ya cargo kinachofanyika ni kuchagua mzigo then unachat na supplier huyo mfano kwa china unachat na seller then unampa address ya huyo seller then badala ya kutumia wale agents waliokuwa recommended yeye anaship to your china address then wataship Hadi kwenye hiyo location then pale store watapima uzito wa mzgo wako na kukupa tathmin ya shipping fee mfano kunabaadhi niliowah Fanya nao kazi wanafanya 12 USD ~30,000/= per kilogram hapo mzgo unachukua siku kama 5 Hadi Saba kupokea mzigo wako na wapo ambao hiyo shipping fee inalipwa baada ya mzgo kufika dar au kabla mzgo haujasafilishwa zipo faida nyingi saana za kuchat na seller/supplier mfano me hata sellers wa kikuu huwa nachati nao kuwaomba discount
 
Gharama ya usafiri ni kulingana na nchi husika mzigo unaenda.

Angalia agent wako ofisi zake ziko nchi/Taifa lipi

Chagua kwenye drop down menu, na hakikisha kwenye shipping address tayari umejaza hiyo address aliyokupa agent, Gharama ya usafirishaji itakayojitokeza italingana na mahali mzigo unaenda.

By default mfumo wa aliexpress utaonyesha gharama za Tanzania, Hivyo kwenye nchi chagua mfano China, na gharama za kusafirisha kuelekea china zitajitokeza, badala ya zile za Tanzania.
Aliexpress Ukiitafuta China Mainland wakati wa kuweka adress ilikuwa haipatikani siku za nyuma, sijajua kama kwa sasa wameiweka.,

Ilikuwepo tu Hongkong.
 
Back
Top Bottom