Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,663
Habari wapendwa!
Hili tatizo la kutetemeka wakati ninapowasiliana na wengine sijui litaisha lini.
Maana ni aibu sana nashindwa kuwasilisha hoja zangu makini sababu ya kutetemeka.
Pumzi zinaisha kabisa na nahisi moto unaniwakia ninapotaka kuongea!!
Yaani nashindwa nifanyeje japokua ni suala muhimu kwangu inabidi nikae kimya ili nisijetetemeka"
Nikiongea naona najichanganya sababu ya kupanic!
Kwa anaemjua Dr yoyote wa Saikolojia mjini Arusha naomba mnisaidie na Ushauri pia.
NB:Moderator Paw Invisible
Msiupeleke huu uzi jukwaa la Doktar.
Hili tatizo la kutetemeka wakati ninapowasiliana na wengine sijui litaisha lini.
Maana ni aibu sana nashindwa kuwasilisha hoja zangu makini sababu ya kutetemeka.
Pumzi zinaisha kabisa na nahisi moto unaniwakia ninapotaka kuongea!!
Yaani nashindwa nifanyeje japokua ni suala muhimu kwangu inabidi nikae kimya ili nisijetetemeka"
Nikiongea naona najichanganya sababu ya kupanic!
Kwa anaemjua Dr yoyote wa Saikolojia mjini Arusha naomba mnisaidie na Ushauri pia.
NB:Moderator Paw Invisible
Msiupeleke huu uzi jukwaa la Doktar.
Last edited by a moderator: