daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 3,127
- 3,062
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muuli ????!Print vyeti vyote ulivyo navyo, nenda kwa mwanasheria afu apige muuli upload.
Ndio utamlipa ili apige muhuri juu ya copy za vyeti vyako, alafu utarudi stationary utamwambia unahitaji ku vi scan, na utavi upload kwenye ajira portal.Muuli ????!
Wasomi uchwara wanazingua Sana Hawa elimu za kubahatisha...hatukatai huwezi kujua yote ila Hadi neno verification linamshinda duhSasa kama msomi mzima iwe wa Certificate,Diploma au Degree haujui maana ya VERIFICATION CERTIFICATE basi tatizo ni kubwa sana
verification certificate ni kwa wale walosoma Nje ya Nchi ambao wanatakiwa wapeleke vyeti vyao TCU vihakikiweWenye kujua tafadhali
Hii ndo sahihi kabisa, verification ni ile cheti utapewa na necta kama ulisoma secondary nje au tcu kama ulisoma chuo nje ya nchiverification certificate ni kwa wale walosoma Nje ya Nchi ambao wanatakiwa wapeleke vyeti vyao TCU vihakikiwe
Nahisi nimeeleweka
Cheti kama hikiView attachment 2252293Hii ndo sahihi kabisa, verification ni ile cheti utapewa na necta kama ulisoma secondary nje au tcu kama ulisoma chuo nje ya nchi
Aha kama sijasoma nje napaacha kama palivyoHii ndo sahihi kabisa, verification ni ile cheti utapewa na necta kama ulisoma secondary nje au tcu kama ulisoma chuo nje ya nchi