Wewe upo wapi? Tuanze hapoHabari wana Jf,
Nilikuwa nahitaji kufanya biashara ya nyanya ninunue kwa wakulima mashambani alafu nije kuuza kwenye masoko Dar.
Nilikuwa naomba
1. Ushauri au muongozo kwa mwenye uzoefu na biashara hii inakuwaje na inafanywajwe
2. Connection za wakulima wa zao hili
3. Connection za masoko huku Dar hata sehemu nyingine zenye masoko ya uhakika
Nadhani Iringa, Morogoro ndo nyanya yakutupwa uko ukienda utakuta ndoo 2000 kwo kazi kwakoHabari wana Jf,
Nilikuwa nahitaji kufanya biashara ya nyanya ninunue kwa wakulima mashambani alafu nije kuuza kwenye masoko Dar.
Nilikuwa naomba.
1. Ushauri au muongozo kwa mwenye uzoefu na biashara hii inakuwaje na inafanywajwe
2. Connection za wakulima wa zao hili
3. Connection za masoko huku Dar hata sehemu nyingine zenye masoko ya uhakika
Nadhani iringa,morogoro ndo nyanya yakutupwa uko ukienda utakuta ndoo 2000 kwo kazi kwako
Asante kwa ushauriNadhani iringa,morogoro ndo nyanya yakutupwa uko ukienda utakuta ndoo 2000 kwo kazi kwako
Mkuu mwaka huu nilienda tasaf ilula ni soko la nyanya kubwa ni biashara nzuri ila sokon ndo changamoto unaweza kukuta ilala lile box la nyanya limeuzwa 25000 alafu mabibo 28000 na wewe umepeleka ilala huku target yako ilikuwa bei ya 28000 inaelea manake kuna mtu anafunga hadi gari 3 kwenda sokon unakuta anapata hasara gari moja lingne linatoa helaHabari wana Jf,
Nilikuwa nahitaji kufanya biashara ya nyanya ninunue kwa wakulima mashambani alafu nije kuuza kwenye masoko Dar.
Nilikuwa naomba.
1. Ushauri au muongozo kwa mwenye uzoefu na biashara hii inakuwaje na inafanywajwe
2. Connection za wakulima wa zao hili
3. Connection za masoko huku Dar hata sehemu nyingine zenye masoko ya uhakika