Msaada kwenye hili

Msaada kwenye hili

kaishebo

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2016
Posts
819
Reaction score
579
Naomba ndugu zangu, yeyote mwenye kuweza kuniandalia Memorandum of Article bila malipo anisaidie ili niweze kufungua Kampuni isiyo ya kibiashara za faida (non- profit making Company).
Nahitaji kutoa huduma kwa wananchi lakini sina pesa ya kuandaa hii kitu.
 
Back
Top Bottom