Msaada kwenye hili...

Simplicity.

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2013
Posts
2,636
Reaction score
1,662
Tshs. 30,000,000/= ya mwaka 1997 ni sawa na Tshs. ngapi kwa sasa (2014)? Naombeni na methodology tafadhali.

NB: Kuna mzee mmoja alikuwa anadaiwa hiyo hela mwaka 1997, hakuweza kulipa tangu sasa, lakini watoto wake ndio wanataka kulipa hilo deni.
 
Tshs. 30,000,000/= ya mwaka 1997 ni sawa na Tshs. ngapi kwa sasa (2014)? Naombeni na methodology tafadhali.

NB: Kuna mzee mmoja alikuwa anadaiwa hiyo hela mwaka 1997, hakuweza kulipa tangu sasa, lakini watoto wake ndio wanataka kulipa hilo deni.

Ni rahisi sana mkuu...ni hivi tafuta exchange rate ya US dollar ya mwaka '97... Mfano mwaka 97 dollar 1 =1200 basi chukua 30,000,000÷1200 utapata 25,000. Sasa chukua hiyo 25000 ×1650(exchange rate ya sasa ya dollar) utapata 41,250,000. Kwahiyo 30m ya 97 ni sawa na 41.25m ya 2014.
NB: hakikisha unapata exchange rate sahihi ya dollar kwa mwaka na mwezi husika hiyo mwaka 97
 

Ahsante mkuu, inaonekana kama vile ndio solution yenyewe! Bila kuihusisha dollar kuna njia nyingine?
 
Halafu mkuu katika huo mkopo hakukuwa na Makubaliano ya kulipa malipo ya ziada yaani riba?
 
Halafu mkuu katika huo mkopo hakukuwa na Makubaliano ya kulipa malipo ya ziada yaani riba?

Hapakuwa na makubaliano ya riba mkuu, ni mkopo ambao ungerudi mapema lakini kutokana na mlipaji kushindwa ndio ikafika leo.
 
Born amekupa jibu sahihi sana ya jinis ya namna ya kukokotoa hapo.
hakuna njia nyingine,ila wanaodaiwa ndiowakubali hali hiyo.
La sivyo peleka Mahakamani,na huko watakuta mfumo huo huo.
Ila nahisi ni zaidi ya hizo pesa,maana kwakumbukumbu zangu dola mwaka 1997 ilikuwa chini ya 1000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…