Msaada kwenye ku appeal mkopo wangu kule loans board

Msaada kwenye ku appeal mkopo wangu kule loans board

Mechanics

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2013
Posts
295
Reaction score
26
Habari wajumbe mimi nimemaliza form six mwaka jana niliaplay mkopo nkapata lakin kdogo mno yan ada siku pewa kabisa and nilsoma sayans sasa nlikuwa naulza naweza nka appeal mwaka huu baada ya majina ya mkopo kutangazwa?
 
huo usumbufu utakao upata afadhali uendelee kukomaa unless kuna mtu uka mcorrupt kule bodi
 
Back
Top Bottom