Msaada kwenye laptop "Parser Message"

Msaada kwenye laptop "Parser Message"

Mzawa Halisi

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2009
Posts
642
Reaction score
375
Wakuu,

naomba msaada wa kunisaidia kutatua tatizo langu kwenye laptop. Laptop yangu ni Toshiba Satellite, Pent4, Proc 2.3GHz, RAM 512, 120GB HDD. wakati wowote ninapowasha napata message Value creation failed at line 422. Nimempelekea fundi aka install upya Windows XP professional, lakini ikafanya kazi muda mfupi, hiyo message ikarudi tena. Kama kuna member ana weza kunisaidia nitashukuru sana.
 
Hii inawezakana ikawa ni Trojan/virusi kwenye hadi drive yako. Jaribu kufanya hivi;

Use the Windows Setup floppy disks or the Windows CD-ROM to start your computer. At the "Welcome to Setup" screen, press F10 or press 'R" to repair.

At C:windows (or winnt)
type cd system32 the directory should now be
C:windowssystem32
type :
copy userinit.exe wsaupdater.exe
1 file should be copied, now REBOOT!
 
Wakuu,

naomba msaada wa kunisaidia kutatua tatizo langu kwenye laptop. Laptop yangu ni Toshiba Satellite, Pent4, Proc 2.3GHz, RAM 512, 120GB HDD. wakati wowote ninapowasha napata message Value creation failed at line 422. Nimempelekea fundi aka install upya Windows XP professional, lakini ikafanya kazi muda mfupi, hiyo message ikarudi tena. Kama kuna member ana weza kunisaidia nitashukuru sana.

Hii inawezakana ikawa ni Trojan/virusi kwenye hadi drive yako. Jaribu kufanya hivi;

Use the Windows Setup floppy disks or the Windows CD-ROM to start your computer. At the "Welcome to Setup" screen, press F10 or press 'R" to repair.

At C:windows (or winnt)
type cd system32 the directory should now be
C:windowssystem32
type :
copy userinit.exe wsaupdater.exe
1 file should be copied, now REBOOT!

MKUU HEBREW Haiwezekani kuwepo kwa hiyo Trojan/Virus ikiwa kama alifuta Windows XP na akaiweka upya Jaribu hivi kwanza try:
... tapping "F8" key @ boot-up select "safe mode with command prompt" ....then type:
SFC /scannow [press ENTER]
 
Inawezekana kama baada ya kuinstall winXP na programs zingine akafanya updates. Hii nilishawahi kuiona baada ya watu kufanya updates za MS na products zingine kama Norton!!
 
Inawezekana kama baada ya kuinstall winXP na programs zingine akafanya updates. Hii nilishawahi kuiona baada ya watu kufanya updates za MS na products zingine kama Norton!!

Mkuu Hebrew bado unatumia Program za Norton Anti-Virus?
 
Mkuu Hebrew bado unatumia Program za Norton Anti-Virus?

Hapana mkuu..mimi ni mtu wa Linux na Macs nilikuwa natumia AVG nilipokuwa na PC ya WinXP.
Amini usiamini ..kuna watu wengi hadi leo wanauziwa PC au Laptop mpya na Norton Anti-Virus & internet security
 
Hapana mkuu..mimi ni mtu wa Linux na Macs nilikuwa natumia AVG nilipokuwa na PC ya WinXP.
Amini usiamini ..kuna watu wengi hadi leo wanauziwa PC au Laptop mpya na Norton Anti-Virus & internet security


Haya nimekuelwa vizuri nipe basi Faida ya Linux na Macs mimi ninazo zote lakini hiyo Ubuntu Linux naitumia pamoja kwenye Windows XP ingawa inayo Hard Disk Driver yake nimeiweka peke yake na hiyo Mac OS ninayo sanduku lake pembeni ila ina tabia ya kujizima kila nikifunguwa inajizima baada ya saa moja inajizima hebu nipe faida zake hizo mbili yaani Ubuntu Linux na Mac Os ? mimi bado mgeni nazo hizo mbili Os na nikijaribu Ubuntu Linus inakwenda Slow Connections yake natumia kwenye Ubuntu Linus MozillaFireFox kama Web Browser yangu asante nakusubiri unipe vitu haya kazi kwako Mkuu Hebrew
 
..kuna watu wengi hadi leo wanauziwa PC au Laptop mpya na Norton Anti-Virus & internet security

Duh me nkikuta mtu anatumia Norton Anti-virus & internet security natamani kulia kwa hasila. ina slow down pc ile mbaya its better na AVG au McAfee nawaonea wivu mnaotumia Mac OS na Linux mie ndio nategemea ku install windows 7 this weekend nione how fast it is

maana vista microsoft pale walichemka mbaya

 
Inawezekana kama baada ya kuinstall winXP na programs zingine akafanya updates. Hii nilishawahi kuiona baada ya watu kufanya updates za MS na products zingine kama Norton!!

Mkuu Hebrew, Hiki ndiyo hasa kilichotokea. Nina uelewa mdogo sana kwenye IT, naomba msaada wako nifanyeje isitokee tena.

Kwa wengine wote nashukuru kwa mchango yenu ya mawazo, kutokana na uelewa mdogo kwenye hii fani, bahati mbaya mtu aliyeahidi kutengeneza alichofanya ni ku format na nimepoteza data zote zilizokuwepo.
 


Duh me nkikuta mtu anatumia Norton Anti-virus & internet security natamani kulia kwa hasila. ina slow down pc ile mbaya its better na AVG au McAfee nawaonea wivu mnaotumia Mac OS na Linux mie ndio nategemea ku install windows 7 this weekend nione how fast it is

maana vista microsoft pale walichemka mbaya

Mkuu jethro kwa wale bado wanaotumia Norton Anti-virus & internet security Kampuni ya Microsoft.com na wanaotumia Avg Au Mc lazima uwaonee huruma kutokana na hawajuwi kile wanachofanya kwa sababu hizo ni Anti-Virus nzito sana zinafanya Computer kuenda taratibu kama Lori lilobeba Magogo nalo lipo juu ya Mlima wa wahehe iringa unaweza kulikamata hata ukishindana nalo kwa mbio utalishinda kwa hiyo wale wanaotumia hizo Anti-Virus 3 wapo Usingizi itabidi uwaamshe sana ingawa alalae usimuamshe. wewe jaribu kuitumia hii Anti-Virus ninayokuambia sasa nayo ni hii hapa chini


Search:



Language:
English Deutsch Français Italiano


HOME
PRODUCTS
DOWNLOAD
SUPPORT
COMMUNITY
SHOP

49_1_EC_logoApr09.png
"Avira AntiVir should remain on top of every free antivirus users' list."
CNET Download.com 03/17/2009



Comments
The Best Security Program... Thnx Avira......



Did you upgrade?


Need Help?




Question of the month Parental Control Software


News
Free version: Avira optimizes update system Tue, 17 November 2009
Painstaking updates will soon be a thing of the past with the free anti-virus solution
Read more
Shoppers paying by bank card are still insufficiently security-conscious Tue, 03 November 2009
Avira issues a warning against cybercrime as people do their Christmas shopping online
Read more
 
Mkuu Hebrew, Hiki ndiyo hasa kilichotokea. Nina uelewa mdogo sana kwenye IT, naomba msaada wako nifanyeje isitokee tena.

Kwa wengine wote nashukuru kwa mchango yenu ya mawazo, kutokana na uelewa mdogo kwenye hii fani, bahati mbaya mtu aliyeahidi kutengeneza alichofanya ni ku format na nimepoteza data zote zilizokuwepo.



Mzawa Halisi samahani sana Hivi mmenichanganya sana Ant virus ya Ukweli ya Faster ni ipi maana mimi Ninatumia Karsperki 2009 je ipo poa. naomba jibu maana nimenunua juzi tu nika install katika LG HDD 110GB na ram 1GB
 
Mzawa Halisi samahani sana Hivi mmenichanganya sana Ant virus ya Ukweli ya Faster ni ipi maana mimi Ninatumia Karsperki 2009 je ipo poa. naomba jibu maana nimenunua juzi tu nika install katika LG HDD 110GB na ram 1GB

Kaspersky iko poa. Huna haja ya kubadilisha.
 
Wakuu,

naomba msaada wa kunisaidia kutatua tatizo langu kwenye laptop. Laptop yangu ni Toshiba Satellite, Pent4, Proc 2.3GHz, RAM 512, 120GB HDD. wakati wowote ninapowasha napata message Value creation failed at line 422. Nimempelekea fundi aka install upya Windows XP professional, lakini ikafanya kazi muda mfupi, hiyo message ikarudi tena. Kama kuna member ana weza kunisaidia nitashukuru sana.

Alifanya Installation upya kweli au alifanya Windows Repair?
Muda mfupi ukimaanisha nini? Siku mbili?
 
Alifanya Installation upya kweli au alifanya Windows Repair?
Muda mfupi ukimaanisha nini? Siku mbili?

Kwa maelezo yake alifanya installation upya, mimi nilichofanya ni kumuachia na baadaye kuipitia aliposema tayari.

Ilifanya kazi siku moja haikufika.
 
Back
Top Bottom