Msaada kwenye tuta juu ya Mafao

Msaada kwenye tuta juu ya Mafao

Chura

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2009
Posts
1,385
Reaction score
2,402
Habari wakubwa? Nina swali kwenye kunufaika na mafao.

Mchangiaji anapofariki mwenza wake anaendelea kupokea mafao kila mwisho wa mwezi?

Anapofariki na mwenza utaratibu wa yale mafao unakuaje ama ndio unakoma?
 
Habari wakubwa?

Nina swali kwenye kunufaika na mafao, mchangiaji anapofariki mwenza wake anaendelea kupokea mafao kila mwisho wa mwezi, anapofariki na mwenza utaratibu wa yale mafao unakuaje ama ndo unakoma?
Mwenza akifariki ama kuoa/kuolewa; pensheni nayo hukoma. Lakini ili uwe na haki ya kupata pensheni, ni sharti uwe umeuchangia mfuko wa pensheni kwa muda wa miezi 180 ama zaidi.
 
Mwenza akifariki ama kuoa/kuolewa; pensheni nayo hukoma. Lakini ili uwe na haki ya kupata pensheni, ni sharti uwe umeuchangia mfuko wa pensheni kwa muda wa miezi 180 ama zaidi.
Iko hivi Mume alifariki akiwa amekidhi vigezo vya kupata mafao, familia ikawaganyishwa mama akawa anapokea Ile pensheni kila mwisho wa mwezi sasa mama naye akafariki utaratibu unakuwaje?
 
wewe ni mgumu wa kuelewa? au unadhani sikuelewa swali
jiheshimu
Ulichosema hakina uhalisia huyu mnufaika kaanza kupata pension tangu 2015 hadi umauti unamfika 2024 ni zaidi ya miaka 6 sasa unataka nikuamini uliposema mitatu?
 
Ulichosema hakina uhalisia huyu mnufaika kaanza kupata pension tangu 2015 hadi umauti unamfika 2024 ni zaidi ya miaka 6 sasa unataka nikuamini uliposema mitatu?
mchangiaji anapofariki mwenza wake anaendelea kupokea mafao kila mwisho wa mwezi, anapofariki na mwenza utaratibu wa yale mafao unakuaje ama ndo unakoma?
hili ndo lilikuwa swali lako au umebadili swali kwenda kwa mchangiaji?
 
mchangiaji anapofariki mwenza wake anaendelea kupokea mafao kila mwisho wa mwezi, anapofariki na mwenza utaratibu wa yale mafao unakuaje ama ndo unakoma?
hili ndo lilikuwa swali lako au umebadili swali kwenda kwa mchangiaji?
Shukrani boss maana yake mnufaika atapewa kwa miaka mitatu ,Samahani mkubwa utaratibu wa kufuatwa ili waliobaki waweze kunufaika na malipo kwa hiyo miaka mitatu na miezi 36 ukoje baada ya kifo cha mwenzi?
 
mchangiaji anapofariki mwenza wake anaendelea kupokea mafao kila mwisho wa mwezi, anapofariki na mwenza utaratibu wa yale mafao unakuaje ama ndo unakoma?
hili ndo lilikuwa swali lako au umebadili swali kwenda kwa mchangiaji?
Shukrani boss maana yake mnufaika atapewa kwa miaka mitatu ,Samahani mkubwa utaratibu wa kufuatwa ili waliobaki waweze kunufaika na malipo kwa hiyo miaka mitatu na miezi 36 ukoje baada ya kifo cha mwenzi?
 
Iko hivi Mume alifariki akiwa amekidhi vigezo vya kupata mafao, familia ikawaganyishwa mama akawa anapokea Ile pensheni kila mwisho wa mwezi sasa mama naye akafariki utaratibu unakuwaje?
Pensheni inakoma.
 
Back
Top Bottom