Msaada kwenye tuta...Mwenye Katiba mpya ya Zanzibar

Msaada kwenye tuta...Mwenye Katiba mpya ya Zanzibar

ludoking

Senior Member
Joined
Oct 5, 2008
Posts
124
Reaction score
71
Kwa waliofutailia mdahalo wa Katiba wa mwezi uliopita ulimuweka kitimoto Makamu wa Mwenyekiti wa CC Taifa, Pius Msekwa. Kuna mwandishi wa habari aliongea mengi kuhusu yaliyomo kwenye katiba mpya ya Zanzibar ambayo hayamo kwenye Katiba ya Tanzania. Mfano Katiba ya Zanzibar inamtambua Makamu wa Kwanza wa Rais, Inataja "Shirikisho" na siyo Muungano. KWA HIYO MWENYE HIYO KATIBA MPYA YA ZANZIBAR ILIYOCHAKACHULIWA, AILETE HAPA JAMVINI TUISOSOMOE
 
Nisaidien wanajamvi,

Mwenye softcopy ya katiba ya Zanzibar, ile ya mwaka 1984 na ya 2010 anisaidie au atusaidie kutuletea hapa jamvini.
 
Wakuu,

Nimeisoma kiasi changu. Hivi hakuna english version ya hii katiba ya Zanzibar. Natumaini kuna mmoja anayo atatusaidia.

Natanguliza shukrani zangu.

Cc: Suleym
 
Wakuu,

Nimeisoma kiasi changu. Hivi hakuna english version ya hii katiba ya Zanzibar. Natumaini kuna mmoja anayo atatusaidia.

Natanguliza shukrani zangu.

Cc: Suleym

Toa hoja yako ya kutaka katiba ya ZANZIBAR.

Ungepewa kwa Kiingereza ungeomba kwa Kiswahili.

Umepewa kwa Kiswahili unataka kwa Kiingereza.

Toa hoja zako tuone, na kama unategemea kurekebishwa basi hilo ujue HALIPO. ⚠️
 
Wadau kama kuna mwenye soft copy ya Katiba ya Zanzibar baada ya mabadiliko ya 2010 tafadhali tusaidiane.

Natanguliza shukrani.
 
Back
Top Bottom