kamata hii mkuuView attachment 99186
Hii ndiyo raha ya JF. Upende usipende JF utaihitaji tu. Thanks mkuu.
Nataka hoja yako umepatiwa katiba
Nataka hoja yako umepatiwa katiba
Wewe wa ajabu kweli hapa duniani.
Kwani maandishi, vitabu au documents zote ulizosoma tangu ujue kusoma hoja yako ilikuwa ni nini?
Wa-LIBERALI wakigombana we kaa pembeni!
Wakuu,
Nimeisoma kiasi changu. Hivi hakuna english version ya hii katiba ya Zanzibar. Natumaini kuna mmoja anayo atatusaidia.
Natanguliza shukrani zangu.
Cc: Suleym