Habari ndugu zangu;
Naomba mnifahamishe ni wapi naweza kupata duka linalouza mahitaji ya upishi wa keki kwa hapa Tanzania...hususani Dar es salaam. Itakuwa vema pia kama tutabadilishana ujuzi wa uandaaji wa hizo keki.......KIZURI MPATIE NA MWENZIO.
THANX IN ADVANCE.
Naomba mnifahamishe ni wapi naweza kupata duka linalouza mahitaji ya upishi wa keki kwa hapa Tanzania...hususani Dar es salaam. Itakuwa vema pia kama tutabadilishana ujuzi wa uandaaji wa hizo keki.......KIZURI MPATIE NA MWENZIO.
THANX IN ADVANCE.