Mkuu wewe na muungano naona umeamua.
This is what people are talking about, kunaonekana kama wazanzibar wamemezwa na tanganyika, hii inatokana na muundo kuwa mbaya kiasi cha kuacha maswali ambayo hayana majibu kama hilo.
Perhaps serikali moja ingekuwa suruhisho la matatizo yote haya na zanzibar hiwe codd sawasawa na sehemu nyingine za tanzania, kwani idadi ya watu wake ni ndogo kuliko hata mkoa wa mwanza.
Hii itapunguza matatizo ya kunyonywa na kunyonya kama tunavyoyaona, watu wa bara tunakata tujitenge kwa kuwa muungano hauna faida kwetu wakati wazanzibar wanataka wajitenge kwa kuwa muungano unawanyonya, nani ananyonywa hapa?
Fikirieni hili swala la serikali moja kama linaweza kuwa solution nzuri muungano wetu kwani kutengana sio solution nzuri kwa kuwa naiona pemba ikiwa ni nchi nyingine zanzibar ikiwa nje ya muungano au pemba kuwa kisiwa kinachotawaliwa kimabavu na unguja.
Hii ni kweli kabisa kwani nje ya muungano wapemba watauliza hivi unguja na pemba ziliungana lini?
Unguja mtajibu nini?