Msaada kwenye uandishi wa majina

Msaada kwenye uandishi wa majina

mtoto wa maskini

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2013
Posts
1,152
Reaction score
637
Shule nimemaliza na majina mawili mfano yani ALLY JUMA ndio ipo kwenye vyeti ila kila napoambiwa kujaza jina la tatu uwa naliweka katikati ili JUMA iendelee kuwepo mwisho yani; ALLY KASSIM JUMA, ila nimeenda sehemu wananiambia jina la tatu lazima liwe mwishoni yani ALLY JUMA KASSIM,

Je kisheria jina langu sahihi ni lipi ikiwa vyeti vyangu vina majina mawili tu?
 
Inategemea unaandika wapi kwa kawaida kuna jina la kwanza , la kati na la unin mara nyingi la ubin linakuwa mwisho. Lakini unweza kukuta form nyingine wanakueleza kabisa kabda Jina l Ubin ( Surname) litangulie, lije la kwanza halafu la katikati. Mfano mi jinalangu ni Mwana Kibinda Nkoi. Ubin wangu ni Nkoi, Kibinda la kati na la kwanza ni Mwana, Itakuwa: Nkoi, Mwana Kibinda. Etc
 
Inategemea unaandika wapi kwa kawaida kuna jina la kwanza , la kati na la unin mara nyingi la ubin linakuwa mwisho. Lakini unweza kukuta form nyingine wanakueleza kabisa kabda Jina l Ubin ( Surname) litangulie, lije la kwanza halafu la katikati. Mfano mi jinalangu ni Mwana Kibinda Nkoi. Ubin wangu ni Nkoi, Kibinda la kati na la kwanza ni Mwana, Itakuwa: Nkoi, Mwana Kibinda. Etc
Hapo naomba kuuliza na mm

Naitwa DERICK REUBEN MAFURU kwa cheti cha kuzaliwa lakini vyeti vyangu vyote vya shule vimeandikwa DERICK R MBUYA
Katika maswala ya Kiofisi mfano appliation za Chuo kwenye nafasi ya kujaza Full name napaswa kuandika DERICK REUBEN MBUYA au DERICK R MBUYA kama ilivyo kwenye vyet?
 
Hapo naomba kuuliza na mm

Naitwa DERICK REUBEN MAFURU kwa cheti cha kuzaliwa lakini vyeti vyangu vyote vya shule vimeandikwa DERICK R MBUYA
Katika maswala ya Kiofisi mfano appliation za Chuo kwenye nafasi ya kujaza Full name napaswa kuandika DERICK REUBEN MBUYA au DERICK R MBUYA kama ilivyo kwenye vyet?
Mkuu andaa Deep poll ulikane jina moja na usajili hilo lingine unalotaka
 
Shule nimemaliza na majina mawili mfano yani ALLY JUMA ndio ipo kwenye vyeti ila kila napoambiwa kujaza jina la tatu uwa naliweka katikati ili JUMA iendelee kuwepo mwisho yani; ALLY KASSIM JUMA, ila nimeenda sehemu wananiambia jina la tatu lazima liwe mwishoni yani ALLY JUMA KASSIM,

Je kisheria jina langu sahihi ni lipi ikiwa vyeti vyangu vina majina mawili tu?
Ally Juma kassim
 
Ally Juma kassim
Naomba msaada wako pia nisahihishe kidogo.
Hapo kwenye Majna Matatu yote yanafanana DERICK REUBEN MBUYA kwa chst cha kuzaliwa lakini kwa vyet vya shule hyo REUBEN imefupishwa na kuandikwa R
Tatzo liko hapo kwenye REUBEN na R, Vp hiyo ina madhara gan?
 
Unalikana jina la awali na kulikubali lingine baada ya hapo unakwenda kusajili wizara ya ardhi
 
Ikiwa kumetokea utata katika majina yako pamoja na mpangilio wa majina hayo (kwamba jina la kwanza ni lipi, la pili na la tatu kwa mpangilio unaotakiwa) Nakushukuru uwende Mahakama iliyo karibu nawe wakupe maelekezo na ULE kiapo cha uthibitisho wa majina yako.

Angalizo: Ikiwa una mpango wa kubadili jina tunatakiwa kubadili la kwako tu, la mzazi (Baba) na ukoo huruhusiwi kuyabadilisha.

Sent from my V2027 using JamiiForums mobile app
 
Naomba msaada wako pia nisahihishe kidogo.
Hapo kwenye Majna Matatu yote yanafanana DERICK REUBEN MBUYA kwa chst cha kuzaliwa lakini kwa vyet vya shule hyo REUBEN imefupishwa na kuandikwa R
Tatzo liko hapo kwenye REUBEN na R, Vp hiyo ina madhara gan?
Si jina la katika Reuben hiyo ni sawa tu mara nyingi wanaandika initial letter, mfano JUMA KANGAROO PHILIPO= JUMA K. PHILIPO
 
Si jina la katika Reuben hiyo ni sawa tu mara nyingi wanaandika initial letter, mfano JUMA KANGAROO PHILIPO= JUMA K. PHILIPO
Ikitokea vyeti vya taaluma vitumie JUMA K. PHILIPO, ila National ID, itumie JUMA KANGAROO PHILIPO,

Hakuna tatizo hapo?
 
Back
Top Bottom