Msaada laptop aina HP 650 imegoma kuwaka

Msaada laptop aina HP 650 imegoma kuwaka

FUTURE HUNTER

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2018
Posts
2,050
Reaction score
2,651
Kwema Viongozi,

Laptop yangu haiwaki kabisa. Naombeni kujua shida inaweza kuwa ni nini?

Nimejaribu kubadili charger lakini hakuna mabadiliko.

Nb ni ina 8yrs now hp 650
 
Kama ilizimika ghafla bila uchichiri (vimulimuli ama mchelemchele) kwenye skrini, basi kuna internal micro-cable disconnection. Itakuwa ilipata mtikisiko fulani.
 
Bahat mbaya sipo mjini. Labda any idea inaweza kuwa n part gan imezingua
 
Kama ni HP, hilo ni tatizo la kawaida sana. Fanya hivi, toa betri, bonyeza kitufe cha kuwashia sekunde 30 bila kuunganisha chaja yake ya umeme.

Unagasha chaja ya umeme, tena bonyeza kitufe cha kuwashia sekunde 30. Rudisha betri, unganisha chaja, washa (Bonyeza kitufe cha kuwashia).
 
Back
Top Bottom