Msaada, laptop yangu inaonyesha 255% available (plugged in)

Msaada, laptop yangu inaonyesha 255% available (plugged in)

Zikwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2013
Posts
239
Reaction score
131
Natumia Dell Insparion tatzo lake ni kuonyesha
255% AVAILABLE (PLUGGED IN)
Kwenye Icon ya Betri kwa lugha Nyepesi Kwenye alama Ya Betri badala ya Kuonyesha inachaji na Asilimia Zake ndo inaonyesha Hizo asilimia 255%, Nimejaribu Kuupdate driver Lakini imeshindikana Na Pia Nina Betri mbili moja Ni mpya Kabisaa lakini nikiweka Betri Inasema *System can not charge this battery.

Wakati ndo bettri la Dell na Nikaamua Kuchukua Replacement battery Nalo bado, Lakini pia Mda Mwingine ukiweka Betri inawaka ila ile asilimia Bado ipo hvyo hvyo *255%* na Hapo ikiamua Inaweza Ikazima gafla..
kubwa Zaidi Nikiitumia Laptop direct yani bila Kueka Betri asilimia Ya *255%* huw inakuwepo ila Laptop haizimi.

Hivyo Naomba kujua
-Hii *255% Available (plugged In) Husababishwa Na Nini na Utatuzi wake
-Kwanini niwekapo betri Pc huzima haijalishi umeweka Jipya au la Zamani.

Asante.
NB.Sory kwa Kuelezea Sana, Ila naamini Nimeeleweka.
 
kar
Asante kwa Mchango wako mkuu....
karibu sana mkuu,lakini issue kama hiyo niliiona kwa jamaa yangu tatizo lilikuwa battery alipobadili ikawa sawa
msaada mwingine utapewa na wakuu
 
kar

karibu sana mkuu,lakini issue kama hiyo niliiona kwa jamaa yangu tatizo lilikuwa battery alipobadili ikawa sawa
msaada mwingine utapewa na wakuu
Sawa Nashukuru sana nami nasubiri Msaada Zaidi, Na Kuhusu betri kama Nilivyoeleza Hapo Juu ninazo Mbili na moja ni mpya Kabisaa Lakini Ukiweka Bado Hiyo asilimia (255%) inakuwepo
 
Natumia Dell Insparion tatzo lake ni kuonyesha
255% AVAILABLE (PLUGGED IN)
Kwenye Icon ya Betri kwa lugha Nyepesi Kwenye alama Ya Betri badala ya Kuonyesha inachaji na Asilimia Zake ndo inaonyesha Hizo asilimia 255%, Nimejaribu Kuupdate driver Lakini imeshindikana Na Pia Nina Betri mbili moja Ni mpya Kabisaa lakini nikiweka Betri Inasema *System can not charge this battery.

Wakati ndo bettri la Dell na Nikaamua Kuchukua Replacement battery Nalo bado, Lakini pia Mda Mwingine ukiweka Betri inawaka ila ile asilimia Bado ipo hvyo hvyo *255%* na Hapo ikiamua Inaweza Ikazima gafla..
kubwa Zaidi Nikiitumia Laptop direct yani bila Kueka Betri asilimia Ya *255%* huw inakuwepo ila Laptop haizimi.

Hivyo Naomba kujua
-Hii *255% Available (plugged In) Husababishwa Na Nini na Utatuzi wake
-Kwanini niwekapo betri Pc huzima haijalishi umeweka Jipya au la Zamani.

Asante.
NB.Sory kwa Kuelezea Sana, Ila naamini Nimeeleweka.
Mkuu kwenye 2 digit uki max kwenye decimal ni 99 na kwenye hex ni FF ambayo ndio hio 255, pengine software imecorupt mahala fulani na inacount kwa hex.

Umesema umedownload driver imeshindikana hapa ulimaanisha umeshindwa kudownload driver ama ulifanikiwa sema haijatatua tatizo?

Kujua tatizo zaidi mkuu kama una flash download distro yoyote ya linux kama linux mint kisha boot na hio flash (sio lazima ku install) then ikiwaka angalia tatizo la battery lipo? Kama hakuna ina maana ni software issue kuweka driver ama ku repair windows/kuweka upya kutasaidia. Kama lipo hadi kwenye linux ina maana ni hardware issue.
 
Umesema umedownload driver imeshindikana hapa ulimaanisha umeshindwa kudownload driver ama ulifanikiwa sema haijatatua tatizo?
Ndio Mkuu nilidownload Driver lakini Haikutatua Tatizo.

Na Pia Kwa Maelezo Yako Mkuu Kuupdate window kunaweza Kuchangia Hili tatzo Langu Maana Kwa Ninavyoona Imekuwaa tatzo Baada Tu ya Kuupdate windows 10, Sasa sijui na hili linaweza kuchangia software kucorrupt.
 
Kujua tatizo zaidi mkuu kama una flash download distro yoyote ya linux kama linux mint kisha boot na hio flash (sio lazima ku install) then ikiwaka angalia tatizo la battery lipo? Kama hakuna ina maana ni software issue kuweka driver ama ku repair windows/kuweka upya kutasaidia. Kama lipo hadi kwenye linux ina maana ni hardware issue.
Nitalifanyia Kazi Na Hili Mkuu. Asante
 
Ndio Mkuu nilidownload Driver lakini Haikutatua Tatizo.

Na Pia Kwa Maelezo Yako Mkuu Kuupdate window kunaweza Kuchangia Hili tatzo Langu Maana Kwa Ninavyoona Imekuwaa tatzo Baada Tu ya Kuupdate windows 10, Sasa sijui na hili linaweza kuchangia software kucorrupt.
Inawezekana mkuu, hio windows kama ni mpya inabidi utafute muda na bundle ya kutosha ifanye updates. Na kama ni windows 10 ya zamani uta update sana tu zaidi ya mara 5.
 
Inawezekana mkuu, hio windows kama ni mpya inabidi utafute muda na bundle ya kutosha ifanye updates. Na kama ni windows 10 ya zamani uta update sana tu zaidi ya mara 5.
Nashukuru sana chief kwa msaada wako
 
Back
Top Bottom