Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
Wakuu msaada tafadhali wa link niweze kuangalia mechi hiyo kupitia simu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mechi imeanza lakini hawa Mamelody wanaharibu soka ndani na nje ya SA. Wamepewa penati dakika ya 9 wamekosa lakini ilikuwa kituko. Hata Tatu Malogo hawezi kutoa penati ya kihuni namna hii.Wakuu msaada tafadhali wa link niweze kuangalia mechi hiyo kupitia simu.