Habari wadau,ktk guide book ya nacte kuna baadhi ya vyuo havijawekewa ada yake.Pia wkt wa kuapply kuna vyuo vimeandikwa"loan not priority"hii ina maana gan wadau au hakuna ufadhili mwaka huu??
Habari wadau,ktk guide book ya nacte kuna baadhi ya vyuo havijawekewa ada yake.Pia wkt wa kuapply kuna vyuo vimeandikwa"loan not priority"hii ina maana gan wadau au hakuna ufadhili mwaka huu??