msaada loan priority NACTE

Wachaka

Senior Member
Joined
Nov 6, 2011
Posts
107
Reaction score
23
Habari wadau,ktk guide book ya nacte kuna baadhi ya vyuo havijawekewa ada yake.Pia wkt wa kuapply kuna vyuo vimeandikwa"loan not priority"hii ina maana gan wadau au hakuna ufadhili mwaka huu??
 
inamaanisha mkopo utatolewa kwa usawa yan hapatakuwa na wanaolipiwa 100% na wengine kupimiwa.
 
Habari wadau,ktk guide book ya nacte kuna baadhi ya vyuo havijawekewa ada yake.Pia wkt wa kuapply kuna vyuo vimeandikwa"loan not priority"hii ina maana gan wadau au hakuna ufadhili mwaka huu??

nisaidie guide book ya nacte ndugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…