Msaada;Losheni ya me&u

Msaada;Losheni ya me&u

Tabalo

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2013
Posts
294
Reaction score
82
Habari za muda huu,naomba kuelimishwa kuhusu mafuta ya me&u kama yana madhara yoyote kama vile kubadilisha rangi ya ngozi,au kuharibu ngozi.binafsi sijawahi kuyatumia ila nimetumiwa na rafiki yangu kama zawadi,naombeni kuelimishwa ili kama yana madhara nisiyatumie.
 
Wale wataalam wa mambo haya mko wapi
 
Me&U ni body cream ambazo zinatengenezwa hapa Tanzania na zimeruhusiwa kuuzwa na TFDA ambao ndio wenye mamlaka upande wa dawa na vyakula. Na haina madhara yoyote yale. Kwa sababu haina viambata vyenye sumu kama Mercury au hydroquinone.
Tumia tu,ni moja ya product zenye kupendwa na watu.
 
Me&U ni body cream ambazo zinatengenezwa hapa Tanzania na zimeruhusiwa kuuzwa na TFDA ambao ndio wenye mamlaka upande wa dawa na vyakula. Na haina madhara yoyote yale. Kwa sababu haina viambata vyenye sumu kama Mercury au hydroquinone.
Tumia tu,ni moja ya product zenye kupendwa na watu.

asante sana
 
Back
Top Bottom